Ili kusajili NGO yako katika ngazi ya Taifa, unahitaji kuwa na mambo yafuatayo:
1. Katiba ya taasisi (Tunakuandalia katiba)
2. Barua ya utambulisho kutoka kwa Msajili wa Wilaya
3. CV za viongozi wakuu watatu: Mwenyekiti, Katibu, na Mhasibu
4. Muktasari wa kuomba muajiriwa
Kwa maelezo zaidi, wasiliana nasi kupitia WhatsApp: